Hayo aliyasema kupitia hotuba yake aliyoitoa katika runinga za Nigeria,ambapo pia kiongozi huyo ameahidi kupambana na masuala ya ufisadi pia
Hata hivyo, bwana Buhari ambaye anataraji kuchukua wadhfa wa urais kuanzia mwezi ujao alimsifu mpinzani wake na rais anayeondoka Goodluck Jonathan.Huku akimtaja kama kiongozi anayehitaji heshima.
No comments:
Post a Comment