Mtu huyo aliyekuwa anaitwa Misao Okawa amefariki wiki kadhaa baada ya kusherehekea miaka hiyo 117 tangu azaliwe.
Misao Okawa alifariki akiwa katika kituo cha uangalizi mjini Osaka,mji ambao alizaliwa mwaka wa 1898.
Okawa amewaacha vitukuu sita na wajukuu wanne .
Okawa katikatia enzi za uhai wake |
No comments:
Post a Comment