ZAIDI YA WATU 100 WANAHOFIWA KUFA MAJI DRC
Taarifa zinasema kwamba jahazi iliyojaa abiria imezama katika Ziwa Tanganyika kusini-mashariki mwa nchi siku ya Alhamisi.
Waziri wa usafiri wa jimbo hilo la Katanga, Laurent Sumba Kahozi), aliliambia shirika la habari la Ufaransa kuwa miili kama 129 imeshapatikana
Hata hivyo, inaarifiwa kuwa watu 232 walinusurika katika ajali hiyo ajali ilyoitokea Alhamisi usiku kaskazini mwa jimbo la Katanga baina ya miji ya Moba na Kalemie.
Pamoja na hayo, waandishi wa habari wanasema ajali kama hizo zinatokea kawaida kwa sababu feri mara nyingi zinakuwa zimejaa mno.
Habarimkusanyiko.blogspot.com inashukuru kwa kutuunga mkono.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment